TIMU ya Manchester City imetinga Robo Fainali ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Peterborough abao ya Man City ya Riyad Mahrez dakika ya 60 na Jack Grealish dakika ya 67 usiku wa Jumanne Uwanja wa Weston Homes mjini Peterborough.
0 comments:
Post a Comment