• HABARI MPYA

    Monday, December 06, 2021

    BEI NAFUU SIMBA NA YANGA NI 5,000 JUMAMOSI


    KIINGILIO cha chini katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara baina ya watani wa jadi, Simba na Yanga Jumamosi Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam ni Sh.5,000.


    Simba ndio watakuwa wenyeji wa mchezo wa Jumamosi na tayari wameanza maandalizi ya mechi hiyo, ikiwemo uuzaji wa tiketi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BEI NAFUU SIMBA NA YANGA NI 5,000 JUMAMOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top