• HABARI MPYA

    Sunday, December 12, 2021

    SIMBA NA YANGA SASA WAPAMBANA NJE YA UWANJA


    UONGOZI wa Yanga SC umesikitishwa na madai ya Mwenyekiti wa Wanachama wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu juu yao baada ya mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya timu hizo uliomalizika kwa sare ya bila kufungana Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA NA YANGA SASA WAPAMBANA NJE YA UWANJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top