BEKI wa Simba SC, George Magere Masatu akikimbilia mpira dhidi ya mshambuliaji wa Yanga SC, Said Nassor Mwamba 'Kizota' (sasa marehemu) katika mchezo wa watani wa jadi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Machi 27, mwaka 1993 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) Jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1, mabao yake yote yakifungwa na Kizota dakika ya 47 na 57, wakati la Simba lilifungwa na Edward Chumila, sasa marehemu pia dakika ya 75.
0 comments:
Post a Comment