WENYEJI, Biashara United wamechapwa bao 1-0 na Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Karume mjini Musoma mkoani Mara. Bao pekee la Wagosi wa Kaya jioni ya leo limefungwa na Hija Ugando dakika ya 36 na kwa ushindi huo, Coastal inafikisha pointi 14 na kupanda hadi nafasi ya tano, wakati Biashara inabaki na pointi zake nane katika nafasi ya 12.
Nigeria unveils new Super Eagles coach Eric Chelle
-
The Nigeria Football Federation (NFF) officially unveiled Eric Chelle as
the new head coach of the Super Eagles during a ceremony at the Moshood
Abiola Sta...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment