CHARLES HILLARY ATEULIWA MKURUGENZI MAWASILIANO IKULU ZENJI
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amemteua mtangazaji nguli wa mpira, Charles Martin Hillary kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu visiwani humo.
0 comments:
Post a Comment