KLABU ya Mtibwa Sugar imemtambulisha winga mkongwe wa kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Deo Kanda A Mukok kuwa mchezaji wake mpya wa kwanza katika dirisha hili dogo la Usajili. Kanda pamoja na kuwika AS Vita ya Kinshasa na TP Mazembe, DC Motema Pembe za Lubumbashi, kwao DRC na Raja Casablanca ya Morocco, pia amewahi kucheza Simba SC ya Dar es Salaam.
ATBU Governing Council appoints Acting Registrar
-
From Paul Orude, Bauchi The Governing Council of Abubakar Tafawa Balewa
University Bauchi has appointed Hajiya Aisha Idris as Acting Registrar of
the Uni...
Arsenal set to make improved Raphinha bid
-
Arsenal are expected to make an improved bid for Leeds
United forward Raphinha. Arsenal's opening bid for Raphinha was rejected as
it fell below Leeds' val...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni