• HABARI MPYA

    Sunday, December 26, 2021

    MKONGWE WA KONGO DEO KANDA ATUA MTIBWA SUGAR


    KLABU ya Mtibwa Sugar imemtambulisha winga mkongwe wa kimataifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Deo Kanda A Mukok kuwa mchezaji wake mpya wa kwanza katika dirisha hili dogo la Usajili.
    Kanda pamoja na kuwika AS Vita ya Kinshasa na TP Mazembe, DC Motema Pembe za Lubumbashi, kwao DRC na Raja Casablanca ya Morocco, pia amewahi kucheza Simba  SC ya Dar es Salaam.
    WASIFU WA DEO KANDA
    Historia yake
    Jina kamiliDéogracias Kanda A Mukok
    Tarehe ya Kuzaliwa11 August 1989 (age 32)
    Mahali AlipozaliwaMatadi, Zaire
    Mwili wake1.71 m (5 ft 7+12 in)
    NafasiMshambuliaji 
    Klabu alizochezea
    Klabu ya Sasa[Mtibwa Sugar]
    Timu ya Vijana
    2005–2007Jack Trésor FC
    Timu za Wakubwa
    MwakaTimu Mechi(Mabao)
    2007–2009Motema Pembe2(0)
    2009–2013TP Mazembe40(15)
    2013–2014Raja Casablanca3(0)
    2014–2015Vita Club2(1)
    2015AEL0(0)
    2015–2019TP Mazembe
    2016→ 4 de Abril (loan)5(1)
    2019–Simba
    Timu ya Taifa
    2011–DRC21(4)


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MKONGWE WA KONGO DEO KANDA ATUA MTIBWA SUGAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top