// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AZAM FC YAACHANA RASMI NI SURE BOY BAADA YA MIAKA 15 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAZAM FC YAACHANA RASMI NI SURE BOY BAADA YA MIAKA 15 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AZAM FC YAACHANA RASMI NI SURE BOY BAADA YA MIAKA 15
KLABU ya Azam FC imeachana rasmi na kiungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ baada ya kuitumikia timu hiyo tangu mwaka 2007 inapanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Taarifa ya Azam FC jioni ya leo imesema; “Alasiri ya leo Desemba 22, (Sure Boy) amekuja Azam Complex kuchukua barua yake ya kuruhusiwa kuondoka Azam Football Club (Release Letter),”. “Amekabidhiwa barua hiyo na afisa mtendaji mkuu, Abdulkarim Amin Popat. Kwa barua hiyo, ni rasmi sasa kwamba Salum Abubakary siyo tena mchezaji wa Azam Football Club. Tunamtakia kila la kheri,”.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment