• HABARI MPYA

    Thursday, December 30, 2021

    YANGA YATAJA VIINGILIO KESHO MECHI NA DODOMA JIJI


    KIINGILIO cha chini katika mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya wenyeji, Yanga SC na Dodoma Jiji FC Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam ni Sh.5,000.



    Katika hatua nyingine, klabu ya Yanga imerahisisha njia za wapenzi wake kujisajili kuwa wanachama na sasa wanaenda kufanya zoezi hilo kupitia simu zao.





    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA YATAJA VIINGILIO KESHO MECHI NA DODOMA JIJI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top