WENYEJI, Azam FC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Azam FC inafikisha pointi 11 katika nafasi ya saba na Kagera Sugar imetimiza pointi tisa katika nafasi ya tisa baada ya wote kucheza mechi nane.
0 comments:
Post a Comment