// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
WAZIRI AWAPONGEZA TANZANITE KUSONGA MBELE KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEWAZIRI AWAPONGEZA TANZANITE KUSONGA MBELE KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
WAZIRI AWAPONGEZA TANZANITE KUSONGA MBELE KOMBE LA DUNIA
WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa amekutana na wachezaji wa timu ya taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite kwa kufuzu Raundi ya Tatu ya kufuzu Kombe la Dunia mwakani. Tanzanite imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3 baada ya kushinda 3-2 katika mchezo wa kwanza Dar es Salaam kabla ya sare ya 1-1 Bujumbura Jumapili na sasa itamenyana na Ethiopia katika Raundi ya Tatu.
Kabla ya mechi ya marudiano wachezaji 11 wa Tanzanite waliambiwa wana maambukizi ya virusi vya Corona, hivyo kulazimika kucheza nane muda wote.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment