• HABARI MPYA

    Thursday, December 16, 2021

    SIMBA YAMUACHIA MAUMIVU MAYELE YANGA


    MSHAMBULIAJI Mkongo, Fiston Kalala Meyele ni kati ya wachezaji wanne majeruhi ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kuumia kwenye mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani, Simba timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana Desemba 11, mwaka huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA YAMUACHIA MAUMIVU MAYELE YANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top