WENYEJI, Mtibwa Sugar wamelazimishwa sare ya 1-1 na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa CCM Shabiby huko mjini Morogoro. Vitalis Mayanga alianza kuifungia Polisi dakika ya 14, kabla ya Datius Peter kujifunga dakika ya 57 kuipatia Mtibwa bao la kusawazisha. Kwa sare hiyo, Mtibwa inafikisha pointi saba na inaendelea kushika mkia, wakati Polisi imetimiza pointi 16 na kurejea nafasi ya tatu baada ya timu zote kucheza mechi 10 sasa.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment