// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
YANGA KUNDI B, SIMBA KUNDI C MAPINDUZI CUP 2022 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEYANGA KUNDI B, SIMBA KUNDI C MAPINDUZI CUP 2022 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MABINGWA watetezi, Yanga SC wamepangwa Kundi B katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2022 pamoja na wenyeji, Taifa Jang’ombe na KMKM zote za Zanzibar. Washindi wa pili wa msimu uliopita, Simba SC wao wapo Kundi C pamoja na wenyeji watupu pia, Sellem View na Mlandege FC, wakati Kundi A lina timu mbili za kila upande, Azam FC na Namungo za Bara na Yosso Boys na Meli City za Zanzibar. Michuano hiyo itaanza Jumapili ya Januari 2, mwakani na Simba watacheza Januari 6 dhidi ya Sellem View, wakati Yanga watamenyana na Taifa siku inayofuata mechi zote zikipigwa Uwanja wa Amaan.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment