MABINGWA watetezi, Simba Queens wameanza vyema Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara baada ya ushindi wa 15-0 dhidi ya Ruvuma Queens jioni ya leo Uwanja wa Mo Simba Arena, Bunju Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba Queens yamefungwa na Zena Khamis matatu, Asha Djafar matatu, Opa Clement matatu, Jacqueline Albert matatu, Aisha Juma na mawili Ruvuma Queens walijifunga. Mechi nyingine ya Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara leo, wenyeji, Alliance Girls wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Mlandizi Queens Uwanja Nyamagana Jijini Mwanza.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment