// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
AZAM FC YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA MBEYA CITY CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEAZAM FC YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA MBEYA CITY CHAMAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
AZAM FC YALAZIMISHWA SARE YA 2-2 NA MBEYA CITY CHAMAZI
WENYEJI, Azam FC wamelazimishwa sare ya kufungana mabao 2-2 na Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Mabao ya Azam FC yote l yamefungwa na Wazimbabwe, beki Bruce Kangwa dakika ya 13 na kiungo Never Tigere dakika ya 73, wakati ya Mbeya City yamefungwa na washambuliaji Juma Luizio dakika ya 28 Richardson Ng'odya dakika ya 65. Azam FC inafikisha pointi 12 katika nafasi ya saba na Mbeya City sasa ina pointi 15 na kupanda nafasi ya tatu baada ya timu zote kucheza mechi tisa sasa.
Morocco upset Argentina in Dramatic Olympics game
-
Morocco secured a wild 2-1 win over Argentina at the start of the Olympic
men’s soccer tournament on July 24 — but not before furious fans invaded
the pi...
FUFA Super8: Sam Ssimbwa to handle Select side
-
A squad of 29 players has been named to feature as Uganda Cranes Select
side in the 2024 FUFA Super 8 Tournament that kicks off on 2nd August. The
squad...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment