• HABARI MPYA

    Thursday, December 30, 2021

    AJIBU AONDOKA SIMBA SC, AJIUNGA NA AZAM FC


    KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Ibrahim Ajibu Migomba amesaini mkataba wa mwaka mmoja baada ya kuvunja mkataba wake na Simbs SC.
    Taarifa ya Simba SC leo imesema; “Kwa maslahi ya pande zote mbili, uongozi wa klabu umefikia makubaliano na mchezaji Ibrahim Ajibu kusitisha mkataba wake kuanzia leo Alhamisi Desemba 30, 2021,”.
    “Kipekee tunamshukuru Ajibu kwa namna alivyojitoa kupambana kwa ajili ya Simba, na tunamtakia kila la kheri katika maisha yake,”.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AJIBU AONDOKA SIMBA SC, AJIUNGA NA AZAM FC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top