Shujaa wa Yanga leo ni mshambuliaji Mkongo, Heritier Ma Olongi Makambo aliyefunga mabao matatu peke yake dakika ya sita, 23 na 65 na kiungo Mganda, Khalid Aucho dakika ya 45.
MAKAMBO APIGA HAT TRICK YANGA YAUA 4-0 ASFC
Shujaa wa Yanga leo ni mshambuliaji Mkongo, Heritier Ma Olongi Makambo aliyefunga mabao matatu peke yake dakika ya sita, 23 na 65 na kiungo Mganda, Khalid Aucho dakika ya 45.
0 comments:
Post a Comment