• HABARI MPYA

    Saturday, September 04, 2021

    SAID NDEMLA AJIUNGA NA MTIBWA SUGAR

     

    KIUNGO wa Simba SC, Said Hamisi Juma ' Ndemla' ametambulishwa kuwa mchezaji mpya wa Mtibwa Sugar ya Morogoro. 


    Mtibwa Sugar, mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara mara mbili mfululizo, 1999 na 2000 wamemsajili Ndemla kwa mkopo wa mwaka mmoja kutoka Simba.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAID NDEMLA AJIUNGA NA MTIBWA SUGAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top