// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); ENGLAND YASHINDA 4-0 KUFUZU KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE ENGLAND YASHINDA 4-0 KUFUZU KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, September 03, 2021

    ENGLAND YASHINDA 4-0 KUFUZU KOMBE LA DUNIA


    TIMU ya taifa ya England imejiweka katika nafasi nzuri kwenye kuwania tiketi ya Kombe la Dunia mwakani baada ya ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Hungary katika mchezo wa Kundi I jana Uwanja wa Puskás Aréna Jijini Budapest.
    Mabao ya Three Lions jana yalifungwa na mshambuliaji wa Manchester City Raheem Sterling dakika ya 55, Harry Kane wa Tottenham Hotspur dakika ya 63, beki wa Manchester United Harry Maguire dakika ya 69 na  na kiungo wa West Ham United Declan Rice dakika ya 87.
    Kwa ushindi huo, England inafikisha ponti 12 na kuendeela kuongoza kundi mbele ya , Poland na Hungary zenye pointi saba kila moja, Albania pointi sita, Andorra tatu wakatiSan Marino haina pointi baada ya mechi nne.

    Europe - WC Qualification Europe

    FT
    Georgia0 - 1KosovoView events
    FT
    Sweden2 - 1SpainView events
    FT
    Italy1 - 1BulgariaView events
    FT
    Lithuania1 - 4Northern IrelandView events
    FT
    Czech Republic1 - 0BelarusView events
    FT
    Estonia2 - 5BelgiumView events
    FT
    Andorra2 - 0San MarinoView events
    FT
    Hungary0 - 4EnglandView events
    FT
    Poland4 - 1AlbaniaView events
    FT
    Iceland0 - 2RomaniaView events
    FT
    Liechtenstein0 - 2GermanyView events
    FT
    North Macedonia0 - 0Armenia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ENGLAND YASHINDA 4-0 KUFUZU KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top