Son Heung-Min akitabasamu kwa furaha baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 54 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, West Ham usiku wa jana Uwanja wa London kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England. Bao lingin la Spurs lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 75, wakati la WHU limefungwa na Lucas Perez 71 na sasa Tottenham itakuwa na Arsenal katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Elements Casino Surrey sold to Semiahmoo First Nation
-
The Semiahmoo First Nation has announced it will acquire Elements Casino
Surrey from operator Great Canadian Entertainment, pending regulatory
approval. It...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment