Son Heung-Min akitabasamu kwa furaha baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 54 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, West Ham usiku wa jana Uwanja wa London kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England. Bao lingin la Spurs lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 75, wakati la WHU limefungwa na Lucas Perez 71 na sasa Tottenham itakuwa na Arsenal katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: France beat Norway 4-1 as Dembélé hits hat-trick
-
France maintained their perfect start to the 2026 FIFA World Cup with a
commanding 4-1 victory over Norway on Friday, thanks to a first-half
hat-trick fr...
5 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment