Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa wa 4-0 dhidi ya Melilla kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme jana Uwanja wa Alvarez Claro mjini Melilla. Mabao ya Real iliyocheza mechi ya kwanza jana chini ya kocha wa muda, Santiago Solari wa timu B baada ya kufukuzwa kwa Julen Lopetegui yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 28, Marco Asensio dakika ya 45 na ushei, Álvaro Odriozola dakika ya 7p na Cristo Gonzalez dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury and family land in Saudi Arabia ahead of Oleksandr Usyk clash in
two weeks, dispelling fears that the Gypsy King was going to withdraw from
the undisputed title fight
-
Tyson Fury and his family have arrived in Saudi Arabia ahead of the massive
undisputed title fight against Oleksandr Usyk on May 18.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment