Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa wa 4-0 dhidi ya Melilla kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme jana Uwanja wa Alvarez Claro mjini Melilla. Mabao ya Real iliyocheza mechi ya kwanza jana chini ya kocha wa muda, Santiago Solari wa timu B baada ya kufukuzwa kwa Julen Lopetegui yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 28, Marco Asensio dakika ya 45 na ushei, Álvaro Odriozola dakika ya 7p na Cristo Gonzalez dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What happens when Man United finally win five in a row? Viral fan reveals
his plans to stay relevant once his haircut challenge is ended by the Red
Devils
-
Frank Ilett - better known as The United Strand - has been growing out his
now-mop-like hair since October 2024, a period during which United have
failed t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment