Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa wa 4-0 dhidi ya Melilla kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme jana Uwanja wa Alvarez Claro mjini Melilla. Mabao ya Real iliyocheza mechi ya kwanza jana chini ya kocha wa muda, Santiago Solari wa timu B baada ya kufukuzwa kwa Julen Lopetegui yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 28, Marco Asensio dakika ya 45 na ushei, Álvaro Odriozola dakika ya 7p na Cristo Gonzalez dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Richard Keys claims Match Of The Day will be scrapped NEXT: Former Sky
Sports star makes huge prediction as he reveals why BBC have pulled the
plug on Football Focus
-
The BBC announced on Thursday that Football Focus would end after 52 years
at the conclusion of the current season - a decision made amid accusations
the p...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment