Refa David Coote akimuonyesha kadi nyekundu mchezaji wa Arsenal, Matteo Guendouzi baada ya kumuonyesha kadi ya pili ya njano katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup Uwanja wa Emirates mjini London. Arsenal ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Stephan Lichtsteiner dakika ya 33 na Emile Smith Rowe dakika ya 50, wakati la Paudie O'Connor dakika ya 66 ambaye alitolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja baada ya kumchezea rafu Pierre-Emerick Aubameyanna sasa The Gunners watakutana na Tottenham Hotspur katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment