Harry Kane akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao la ushindi Tottenham Hotspur dakika ya 89 ikiilaza 2-1 PSV katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Kane pia aliifungia bao la kusawazisha Spurs dakika ya 78, baada ya Luuk de Jong kutangulia kuifungia PSV dakika ya pili tu kwa kichwa akimalizia kona ya Gaston Pereiro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rare Messerschmitt flies with Spitfire for first time this century
-
A rare German Messerschmitt fighter has flown alongside a Spitfire for the
first time this century.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment