Harry Kane akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao la ushindi Tottenham Hotspur dakika ya 89 ikiilaza 2-1 PSV katika mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Kane pia aliifungia bao la kusawazisha Spurs dakika ya 78, baada ya Luuk de Jong kutangulia kuifungia PSV dakika ya pili tu kwa kichwa akimalizia kona ya Gaston Pereiro PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hank Aaron's Great-Nephew Kimani Vidal Selected by Chargers in 2024 NFL
Draft
-
The Los Angeles Chargers selected Troy running back Kimani Vidal with the
No. 181 overall pick in the 2024 NFL draft on Saturday. Vidal shares a
special…
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment