Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Atletico Madrid dakika ya 80 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Bao la kwanza lilifungwa na Saul Niguez dakika ya 33 akimalizia pasi ya Filipe Luis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 NHL Draft: Lemieux, Croskery, And Boettiger Among Best Players To Go
Undrafted
-
The 2026 NHL draft came and went, and a total of 224 players were selected.
But that doesn’t mean there weren’t players who were not selected and
likely sh...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment