Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Atletico Madrid dakika ya 80 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Bao la kwanza lilifungwa na Saul Niguez dakika ya 33 akimalizia pasi ya Filipe Luis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luton stay in bottom three after draw with Everton
-
Luton Town miss out on the chance to move out of the relegation zone as
they are held by Everton in the Premier League.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment