Kiungo Cesc Fabregas akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 41 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Derby County ya kocha Frank Lampard kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Fikayo Tomori dakika ya tano na Richard Keogh dakika ya 21 wote wakijifunga huku mabao ya Derby yakifungwa na Jack Marriott dakika ya tisa na Martyn Waghorn dakika ya 27 na sasa The Blues watawakaribisha Bournemouth katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Mo Salah BLANKED Jurgen Klopp at full-time as new footage shows
Liverpool star ignore his manager after heated exchange between the pair
during draw with West Ham
-
Footage has emerged showing Mo Salah blanking Jurgen Klopp at full-time
during Liverpool 's 2-2 draw with West Ham .
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment