Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 3-0 dhidi ua Ujerumani jana kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza michuano ya Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam jana. Mabao mengine ya Uholanzi yalifungwa na Memphis Depay dakika ya 86 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Players told LIV Golf to run 'for many years' amid collapse rumours
-
Sergio Garcia says LIV Golf's players were told earlier this year the event
would run for "many years" as rumours swirl the Saudi-backed venture is on
the ...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment