Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 3-0 dhidi ua Ujerumani jana kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza michuano ya Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam jana. Mabao mengine ya Uholanzi yalifungwa na Memphis Depay dakika ya 86 na Georginio Wijnaldum dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miles Russell survives to reach U.S. Open with Charlie Woods on the bag
-
Miles Russell didn't make it easy on himself at times at the BallenIsles
Country Club but he scraped and clawed for his first U.S. Open berth.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment