Mshambuliaji Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 43 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Saudi Arabia mapema jana Uwanja wa Chuo Kikuu cha Mfalme wa Saud mjini Riyadh. Bao la pili lilifungwa na beki Alex Sandro dakika ya 90, wakati wenyeji walipata pigo baada ya kipa wao, Mohammed Al-Owais kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kunaswa na picha za marudio ya Video (VAR) akiushika mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heartbreaking video emerges of cricket star Josh Baker taking three wickets
in his last match just hours before his death aged 20
-
The cricket world was sent into shock on Thursday when Baker's club
revealed the 20-year-old had passed away before tributes began to flow in
for the talen...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment