Mshambuliaji Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 43 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Saudi Arabia mapema jana Uwanja wa Chuo Kikuu cha Mfalme wa Saud mjini Riyadh. Bao la pili lilifungwa na beki Alex Sandro dakika ya 90, wakati wenyeji walipata pigo baada ya kipa wao, Mohammed Al-Owais kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kunaswa na picha za marudio ya Video (VAR) akiushika mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah APOLOGISED to Liverpool team-mates after 'thrown under the
bus' rant, reveals Curtis Jones - as he throws his backing behind Egyptian
-
Mohamed Salah apologised to his Liverpool team-mates after his infamous
rant, Curtis Jones has revealed.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment