Mshambuliaji Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 43 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Saudi Arabia mapema jana Uwanja wa Chuo Kikuu cha Mfalme wa Saud mjini Riyadh. Bao la pili lilifungwa na beki Alex Sandro dakika ya 90, wakati wenyeji walipata pigo baada ya kipa wao, Mohammed Al-Owais kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kunaswa na picha za marudio ya Video (VAR) akiushika mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Obasanjo visits Abia July 29 for Gen Aguiyi-Ironsi’s 60th memorial
-
Former President Olusegun Obasanjo will on Wednesday, July 29, visit Abia
State for the 60th memorial celebration of the first military head of state
of ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment