Mshambuliaji Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 43 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Saudi Arabia mapema jana Uwanja wa Chuo Kikuu cha Mfalme wa Saud mjini Riyadh. Bao la pili lilifungwa na beki Alex Sandro dakika ya 90, wakati wenyeji walipata pigo baada ya kipa wao, Mohammed Al-Owais kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kunaswa na picha za marudio ya Video (VAR) akiushika mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United consider shock move for Premier League goalkeeper amid plans to
shift BOTH Altay Bayindir and £120,000-a-week exile Andre Onana after Senne
Lammens' superb debut season
-
The 35-year-old qualifies as a homegrown player, which is viewed positively
for a potential second-choice goalkeeper role at Old Trafford. However, he
is a...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment