Mshambuliaji Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil bao la kwanza dakika ya 43 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Saudi Arabia mapema jana Uwanja wa Chuo Kikuu cha Mfalme wa Saud mjini Riyadh. Bao la pili lilifungwa na beki Alex Sandro dakika ya 90, wakati wenyeji walipata pigo baada ya kipa wao, Mohammed Al-Owais kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kunaswa na picha za marudio ya Video (VAR) akiushika mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Woman’s death following arrest by Edmonton police under investigation: ASIRT
-
The Alberta Serious Incident Response Team (ASIRT) is investigating the
death of a woman following an arrest by Edmonton police last month.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment