Eder (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 74 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Scotland kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow, Scotland. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo, yalifungwa na Helder Costa dakika ya 43 na Bruma dakika ya 84 wakati la wenyeji lilifungwa na Steven Naismith dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steve Davis gives BBC pundit death stare live on TV after incredibly
awkward comment at the World Snooker Championship in Sheffield
-
Former snooker star Steve Davis has given a BBC pundit a death stare on
live television after an incredibly awkward comment during the World
Snooker Champi...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment