Eder (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 74 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Scotland kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow, Scotland. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo, yalifungwa na Helder Costa dakika ya 43 na Bruma dakika ya 84 wakati la wenyeji lilifungwa na Steven Naismith dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Key Alabama football booster arrested in human trafficking bust weeks
before new college football season
-
A long-time sportswriter and key member of the Alabama Crimson Tide's
recruiting effort has been arrested in a wide-ranging human-trafficking
sting for all...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment