Eder (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 74 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Scotland kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow, Scotland. Mabao mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo, yalifungwa na Helder Costa dakika ya 43 na Bruma dakika ya 84 wakati la wenyeji lilifungwa na Steven Naismith dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal's injury crisis worsens as another star is forced off against
Sporting Lisbon in major blow ahead of title run-in
-
Arsenal have suffered another injury blow, with Mikel Arteta left sweating
on the fitness of a key man ahead of their crucial run-in this season.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment