Mshambuliaji Luis Suarez (kushoto) akimuambia kitu mwenzake, Lionel Messi aliyeipa mgongo kamera wakati wa mazoezi ya Barcelona ikijiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Roma leo Uwanja wa Olimpico mjini Roma. Barca ilishinda 4-1 kwenye mechi ya kwanza wiki iliyopita Uwanja wa Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Met considers ban on pro-Palestine marches as Rowley and Polanski clash
-
Police tasered and arrested a 45-year-old man after a double stabbing.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment