Mshambuliaji Danny Welbeck akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Arsenal dakika ya 81 ikiilaza 3-2 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Welbeck amefunga mabao mawili leo, la kwanza dakika ya 38 kufuatia Pierre-Emerick Aubameyang kuanza kuifungia Arsenal dakika ya 28, wakati mabao ya Southampton yamefungwa na Shane Long dakika ya 17 na Charlie Austin dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ronald Koeman RESIGNS as Netherlands head coach after World Cup exit
-
Koeman, 63, announced on Instagram that he was stepping down hours after
they were beaten by Morocco in a penalty shootout.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment