Kocha Mkuu wa Yanga SC, Mzambia George Lwandamina (kushoto), akizungumza na kocha wa makipa, Juma Pondamali wakati wa mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Wolaita Ditcha ya Ethiopia Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0
Juma Pondamali (katikati) Jumamosi alichukua majukumu ya ujumla ya Ukocha Msaidizi, kutokana na kutokuwepo kwa Mzambia Noel Mwandila na mzawa, Nsajigwa Shadrack ambao walikuwa wanatumikia adhabu. Kulia ni Daktari wa timu, Edward Bavu
George Lwandamina ni kocha mweledi mno na mwenye mipango ya kutosha ya ushindi
Benchi la Yanga wakati mchezo na Wolaita Ditcha ukiendelea
Floyd Mayweather's US passport is set to be REVOKED over $7m tax debt
-
Mayweather, who earned more than $1bn over the course of his boxing career,
has been notified by the IRS of its intention to take his papers over an
unreso...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment