Kocha Mkuu wa Yanga SC, Mzambia George Lwandamina (kushoto), akizungumza na kocha wa makipa, Juma Pondamali wakati wa mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Wolaita Ditcha ya Ethiopia Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0
Juma Pondamali (katikati) Jumamosi alichukua majukumu ya ujumla ya Ukocha Msaidizi, kutokana na kutokuwepo kwa Mzambia Noel Mwandila na mzawa, Nsajigwa Shadrack ambao walikuwa wanatumikia adhabu. Kulia ni Daktari wa timu, Edward Bavu
George Lwandamina ni kocha mweledi mno na mwenye mipango ya kutosha ya ushindi
Benchi la Yanga wakati mchezo na Wolaita Ditcha ukiendelea
Roof of tutoring center collapses in eastern Pakistan, killing at least 14
children
-
LAHORE, Pakistan (AP) — A roof collapse at a tutoring center
under-construction in Pakistan’s eastern city of Lahore on Tuesday killed
at least 14 schoolch...
7 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment