Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya timu yao na Wolaita Ditcha ya Ethiopia. Yanga ilishinda 2-0
Shabiki huyu wa Yanga akiwa amejichora majina ya wachezaji
Hawa wawili walitumia fursa yao kujipiga picha za ukumbusho jana
Hawa wao walikuwa wanashangilia muda mwingi wa mchezo
Katikati ni msanii mchekeshaji maarufu wa kwenye Televisheni, Ulimboka Mwalulesa 'Senga' akifurahia na mashabiki wenzake wa Yanga
Hawa ni magwiji wa Yanga, Sekilojio Chambua (kushoto) na Mohammed Hussein 'Mmachinga' kulia
Kulia ni mshambulia wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa ambaye alikosekana jana kwa sababu ya kadi za njano
World Cup Breakfast: Beware, England! Imperious Mexico set up daunting
potential last-16 showdown against Three Lions, Kylian Mbappe breaks
ANOTHER record, match highlights - and what to look out for today
-
Hello and welcome to Daily Mail Sport's World Cup Breakfast from day 20 at
the tournament - your one-stop shop for everything you've missed overnight
in No...
46 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment