Roberto Firmino na Mohamed Salah wakishangilia baada ya kuifungia mabao mawili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Manchester City kwenye mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne. Salah alifunga la kwanza dakika ya 56 na Firmino la pili dakika ya 77, kufuatia Gabriel Jesus kuanza kuifungia Man City dakika ya pili Uwanja wa Etihad na sasa Liverpool inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Anfield wiki iliyopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beloved Candy Store Chain to Close Over ‘Economic Pressures’ After 141
Years in Business
-
Lammes Candies, which first opened in 1885, will shut all of its Texas
location
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment