Lionel Messi akitembea kinyonge baada ya Barcelona kufungwa 3-0 na wenyeji, Roma katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne na kutolewa kwa mabao ya ugenini baada ya sare ya jumla ya 4-4 kufuatia awali kushinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Olimpico mjini Roma. Mabao ya Roma leo yamefungwa na Edin Dzeko dakika ya sita, Daniele De Rossi kwa penalti dakika ya 58 na Konstantinos Manolas dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eagles' Saquon Barkley Tells Giants Fans He 'Never Got' Contract Offer to
Return
-
Philadelphia Eagles running back Saquon Barkley said Thursday night that
the New York Giants never made him a formal contract offer before he signed
with the…
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment