Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola akijadiliana na wasaidizi wake wakati wa mazoezi ya leo jioni kujiandaa na mchezo wa marudiano Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Liverpool Uwanja wa Etihad wakihitaji ushindi wa 4-0 kusonga mbele kufuatia kufungwa 3-0 kwenye mechi ya kwanza Uwanja wa Anfield wiki iliyopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It was the best decision - Asamoah Gyan lauds Fatawu Issahaku for focusing
on club football
-
Former Black Stars captain Asamoah Gyan has praised Abdul Fatawu Issahaku
for his decision to prioritise his club football over national team duty,
describ...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment