Mshambuliaji Javier Hernandez 'Chicharito' akiwa amebebwa na Marko Arnautovic wakati wakishangilia baada ya kuifungia West Ham United bao la kusawazisha dakika ya 73 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Chelsea walitangulia kwa bao la Cesar Azpilicueta dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bucks' Damian Lillard Explains Game 6 Injury Decision: 'F--k It, I'm Going
to Play'
-
Damian Lillard missed Games 4 and 5 against the Indiana Pacers in the first
round of the NBA playoffs while dealing with an Achilles injury, but the
Milwau...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment