Mshambuliaji Javier Hernandez 'Chicharito' akiwa amebebwa na Marko Arnautovic wakati wakishangilia baada ya kuifungia West Ham United bao la kusawazisha dakika ya 73 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Chelsea walitangulia kwa bao la Cesar Azpilicueta dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Novak Djokovic leads calls for Home Office to allow Boris Becker to return
to Wimbledon - with tennis legend currently unable to return to UK
following prison sentence
-
The 24-time Grand Slam champion revealed he text the German before the
championships began to see if he would be seeing him at the All England
Club.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment