Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akiburuza begi lake leo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam wakati wa safari ya Cairo nchini Misri kwa ajili ya mchezo wa marudiano Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Al Masry Jumamosi
Mshambuliaji Mganda, Nicholaus Gyan akiwaongoza wenzake safarini leo
Nahodha John Bocco akielekea eneo kuingia JNIA baada ya kuteremka kwenye basi la simu
Adelaide Crows and Port Adelaide make powerful anti-domestic violence
statement in emotional tribute ahead of The Showdown
-
Adelaide Crows and Port Adelaide put on a united front before the first
bounce, with the crowd at the Adelaide Oval observing a moment of silence
to rememb...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment