Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao manne dakika za 11, 47, 64 na 90 na ushei katika ushindi wa 6-3 wa Real Madrid kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana dhidi ya Girona Uwanja wa Bernabeu na kufikisha hat trick 50 katika historia yake. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Lucas Vazquez dakika ya 59 na Gareth Bale dakika ya 86 wakati ya Girona yalifungwa na Christian Stuani dakika za 29 na 67 na Juanpe dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disaster strikes for highly-rated NFL Draft star Jermod McCoy as teams
completely ignore him in top 100 picks
-
The 6-foot-1, 188lb cornerback out of Tennessee was projected to be picked
in the top 20 in Pittsburgh, and had been holding out hopes for a top-10
selecti...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment