Mshambuliaji Alexis Sanchez anayelipwa Pauni 400,000 kwa wiki Manchester United akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 20 ikiilaza 2-0 Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jionji ya leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester, kufuatia kumpasia mshambuliaji mwenzake, Romelu Lukaku kufunga bao la kwanza dakika ya tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL quarterback who went AWOL over contract talks makes a huge decision
amid ongoing standoff
-
After avoiding his return to the team due to a contract dispute, Arizona
Cardinals quarterback Jacoby Brissett will finally show up at his team's
mandatory...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment