Beki Mbrazil, Dani Alves akishangilia baada ya kufunga bao lake la kwanza leo tangu ahamie Ligue 1 katika ushindi wa 2-1 wa Paris Saint-Germain dhidi ya wenyeji, NIce Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Alves alifunga dakika ya 82 hilo likiwa bao la pili baada ya Angel Di Maria kufunga la kwanza dakika ya 21 lililokuwa la kusawazisha baada ya Allan Sant-Maximin kuanza kuifungia NIce dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Analysis-Airbus leans towards Saab as Franco-German fighter unravels
-
By Tim Hepher, Sabine Siebold and Maria Rugamer PARIS/BERLIN, June 10
(Reuters) - Airbus is increasingly looking to Sweden's Saab as a preferred
future par...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment