Beki Mbrazil, Dani Alves akishangilia baada ya kufunga bao lake la kwanza leo tangu ahamie Ligue 1 katika ushindi wa 2-1 wa Paris Saint-Germain dhidi ya wenyeji, NIce Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Alves alifunga dakika ya 82 hilo likiwa bao la pili baada ya Angel Di Maria kufunga la kwanza dakika ya 21 lililokuwa la kusawazisha baada ya Allan Sant-Maximin kuanza kuifungia NIce dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Russell Crowe's Souths 'power struggle' with Aussie tech billionaire
as Hollywood star's club battles its biggest drama in 20 years
-
The Gladiator star was hailed for rescuing the team and helping lead it to
grand final glory after he took control in 2006 - but recent events show
his inf...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment