Mshambuliaji wa Hispania, Diego Costa akijaribu kuurukia mpira dhidi ya mabeki wa Ujrumani kwenye boksi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa ESPRIT arena mjini Dusseldorf, Ujerumani. Timu hizo zilifungana 1-1, Rodrigo akianza kuifungia Hispania dakika ya sita kabla ya Thomas Muller kuisawazishia Ujerumani dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Evacuation alert lifted for Fort Simpson, residents reflect on experiences
-
After being evacuated on June 28, residents are balancing emotions as they
return to daily routines and prioritizing community well-being. CBC's
Jocelyn Sh...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment