Mkurugenzi wa klabu ya Friends Rangers ya Daraja la Kwanza, Heri Mzozo akifuatilia mchezo wa kirafiki wa kimataifa baina ya timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ya Tanzania, Ngorongoro Heroes na Morocco jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam kiasi cha kushindwa kumskiliza mtoto aliyembeba
Pamoja na mtoto kumuambia hadi kwa ishara ya kidole, lakini Heri Mzozo alikuwa ameelekeza fikra zake zote kwenye mchezo ambao Ngorongoro walishinda 1-0
Hakika kijana huyu alipata wakati mgumu mno, kwa sababu baba hakumskiliza kabisa
Ikafika wakati hadi mtoto akawa kama anataka kuteremka aende kuchukua mwenyewe anachomuonyesha baba yake
Lakini hakuweza kuteremka kutokana na namna baba yake alivyokuwa amemshika vizuri
Alipozidi kutaka kujinasua, baba akamuangalia kwa jicho la ukali na mtoto akawa mpole
👕 Man City launch new home kit for 2022/23 season
-
Manchester City have officially unveiled their striking new home kit for
the 2022/23 season. The kit 'celebrates' Club legend Colin Bell, who was
famously ...
Dakika 32 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni