Mkurugenzi wa klabu ya Friends Rangers ya Daraja la Kwanza, Heri Mzozo akifuatilia mchezo wa kirafiki wa kimataifa baina ya timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ya Tanzania, Ngorongoro Heroes na Morocco jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam kiasi cha kushindwa kumskiliza mtoto aliyembeba
Pamoja na mtoto kumuambia hadi kwa ishara ya kidole, lakini Heri Mzozo alikuwa ameelekeza fikra zake zote kwenye mchezo ambao Ngorongoro walishinda 1-0
Hakika kijana huyu alipata wakati mgumu mno, kwa sababu baba hakumskiliza kabisa
Ikafika wakati hadi mtoto akawa kama anataka kuteremka aende kuchukua mwenyewe anachomuonyesha baba yake
Lakini hakuweza kuteremka kutokana na namna baba yake alivyokuwa amemshika vizuri
Alipozidi kutaka kujinasua, baba akamuangalia kwa jicho la ukali na mtoto akawa mpole
Park footballer kicks 22 GOALS in record 340 point Aussie Rules hammering -
and he was only filling in at forward to make up the numbers
-
An Adelaide Footy League club has put on a record flogging to kick off its
2024 season, with a midfielder turned forward blasting an incredible 22
goals in...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment