Lionel Messi akishangilia na Ousmane Dembele baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 wa Barcelona dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Camp Nou. Messi alifunga mabao mawili dakika za tatu na 63 na alimsetia pia Dembele kufunga lingine dakika ya 20 na sasa Barca inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-1 baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alex Pereira shares 'breaking news' video of himself signing a fight
contract, with fans sent into frenzy over potential Tom Aspinall UFC 304
showdown - but which clue could give it away?
-
Pereira gave fans a hint over a huge showdown with a major name this summer
after uploading a video of him signing a contract - before being handed a
pair ...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment