Nyota wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang ameposti picha hii ya magari yake ya kifahari yenye jumla ya Pauni 850,000 ambayo alikuwa ameyapaki nje ya hoteli ya kifahari ambayo mchezaji huyo anaishi. Gari hizo ni pamoja na Lamborghini Aventador yenye thamani ya Pauni 270,000, lakini pia Aubameyang ana Porsche, Ferrari na Range Rover katika gari hizo. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Gabon ana gari nyingine kibao za kifahari ambazo bado hajazihamishia England ambako katika mechi sita alizoichezea Arsenal tangu ajiunge nayo Januari ameifungia mabao matatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL quarterback who went AWOL over contract talks makes a huge decision
amid ongoing standoff
-
After avoiding his return to the team due to a contract dispute, Arizona
Cardinals quarterback Jacoby Brissett will finally show up at his team's
mandatory...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment