Kocha wa timu ya taifa ya England, Gareth Southgate akizungumza na mshambuliaji Harry Kane, ambaye yuko nje ya kikosi kwa sababu ya maumivu ya mguu. Lakini jana wakati anazungumza na Southgate kwenye mazoezi ya Three Lions jana viwanja vya Enfield, ikijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Italia kesho, Kane hakuwa na magongo ya kutembelea kuashiria amepata ahueni ya maumivu yake aliyoyapata mapema mwezi huu katika mchezo na Bournemouth na kutakiwa kuwa nje kwa wiki sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police arrest social media influencer for raising false security alarm in
Akwa Ibom
-
Akwa Ibom police arrested a social media influencer for raising a false
security alarm about a bandit invasion that sparked widespread panic among
reside...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment