Raheem Sterling wa England akiwatoka wachezaji wa Italia katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Wembley mjini London timu hizo zikifungana 1-1. Jamie Vardy alianza kuifungia England dakika ya 26 akimalizia mpira wa adhabu wa Jesse Lingard kabla ya Lorenzo Insigne kuisawazishia The Azzuri dakika ya 87 kwa penalti kufuatia James Tarkowski kumchezea rafu Federico Chiesa, ingawa refa Deniz Aytekin alihitaji msaada wa teknolojia ya Video (VAR) kuthibitisha adhabu hiyoPICHA ZAIDI GONGA HAPA
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment