Mshambuliaji wa Manchester City, Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 12 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya nne na Raheem Sterling dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
We’ll produce our own candidates, no alliances, says NRM
-
From Okwe Obi, Abuja Ahead of the 2027 polls, the National Rescue Movement
(NRM) has ruled out plans to form alliances with the All Progressives
Congress...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment