Mshambuliaji wa Manchester City, Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 12 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya nne na Raheem Sterling dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
West Ham 2-2 Brentford (pens 5-3): Hammers earn FA Cup quarter-final spot
after nerve-wracking clash - after Dango Ouattara hits EMBARRASSING
spot-kick
-
LUKE POWER AT THE LONDON STADIUM: West Ham booked their place in the
quarter-finals of the FA Cup for the first time in a decade - and had a
woeful Panenka...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment