Mshambuliaji wa Manchester City, Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 12 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya nne na Raheem Sterling dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erling Haaland shows off first major purchase since signing lucrative new
£865k-a-week Man City deal as he leaves training in stunning £200k car
-
Manchester City star Erling Haaland has been spotted driving a brand new
supercar, one month after signing the most lucrative contract in the
history of fo...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment