Mshambuliaji wa Manchester City, Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 12 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya nne na Raheem Sterling dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Millwall consider legal action over badge on KKK image
-
Millwall consider taking legal action after Westminster City Council used
the club's badge on an illustration of a Ku Klux Klan member.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment