Mshambuliaji wa Manchester City, Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 12 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya nne na Raheem Sterling dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Yannick Bolasie dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kalshi Threatens Netflix With Defamation Suit Over “Misleading” Prediction
Market Doc Trailer
-
Kalshi threatened Netflix with a defamation suit over a recent trailer for
the upcoming documentary The Prediction Games, premiering Sunday on the
streamer...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment