Nyota wa Chelsea, Pedro akipiga kibendera cha kona kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili na la ushindi dakika ya 105 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England leo Uwanja wa King Power mjini Leicester. Alvaro Morata alianza kuifungia Chelsea dakika ya 42, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester City dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Meghan Markle Gets Surprise Video Call from Prince Harry During “MasterChef
Australia” Appearance: ‘Have I Interrupted?’
-
The Duchess of Sussex appeared as a guest judge on the July 26 episode of
the reality competition series
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment