Nyota wa Chelsea, Pedro akipiga kibendera cha kona kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili na la ushindi dakika ya 105 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England leo Uwanja wa King Power mjini Leicester. Alvaro Morata alianza kuifungia Chelsea dakika ya 42, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester City dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fired faculty and staff from Laurentian University's insolvency finally get
their reduced severance
-
The last creditors to be paid since Laurentian University declared
insolvency February 1, 2021, are finally getting some compensation.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment