Nyota wa Chelsea, Pedro akipiga kibendera cha kona kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili na la ushindi dakika ya 105 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England leo Uwanja wa King Power mjini Leicester. Alvaro Morata alianza kuifungia Chelsea dakika ya 42, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester City dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFL Championship final day: Live scores, team news and updates as Ipswich
and Leeds fight for promotion to the Premier League
-
Follow Mail Sport's live blog from the final day of the EFL Championship
season with the second automatic promotion, and relegation battle all going
down t...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment