Nyota wa Chelsea, Pedro akipiga kibendera cha kona kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili na la ushindi dakika ya 105 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England leo Uwanja wa King Power mjini Leicester. Alvaro Morata alianza kuifungia Chelsea dakika ya 42, kabla ya Jamie Vardy kuisawazishia Leicester City dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AFL axes Appeals Board chair in explosive fallout from Lance Collard
homophobic slur verdict
-
AFL boss Andrew Dillon has fired back at a controversial decision from the
code's appeals board to reduce a player's suspension by seven weeks
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment