Sergio Ramos (kushoto) akimpongeza mchezaji mwenzake wa Real Madrid, Isco baada ya kuifungia Hispania mabao matatu dakika za 27, 52 na 74 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Diego Costa dakika ya 12, Thiago Alcantara dakika ya 55 na Iago Aspas dakika ya 73, wakati la Argentina iliyomkosa nyoa wake, Lionel Messi wa Barcelona anayesumbuliwa na maumivu ya nyama za paja lilifungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Scale of Ryan Reynolds and Rob McElhenney's funding into Wrexham
laid bare by the club's astronomical wage bill... after the Hollywood
owners admitted they were 'f****d without National League promotion
-
Wrexham paid out £6.9million in wages during their promotional season from
the National League as the level of funding from the club's Hollywood
owners was...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment